个人资料图片
English
  • 全部
  • 搜索
  • 图片
  • 视频
  • 地图
  • 资讯
  • 更多
    • 购物
    • 航班
    • 旅游
  • 笔记本
报告不当内容
请选择下列任一选项。
  • 时长
    全部短(小于 5 分钟)中(5-20 分钟)长(大于 20 分钟)
  • 日期
    全部过去 24 小时过去一周过去一个月去年
  • 清晰度
    全部低于 360p360p 或更高480p 或更高720p 或更高1080p 或更高
  • 源
    全部
    Dailymotion
    Vimeo
    Metacafe
    Hulu
    VEVO
    Myspace
    MTV
    CBS
    Fox
    CNN
    MSN
  • 价格
    全部免费付费
  • 清除筛选条件
  • 安全搜索:
  • 中等
    严格中等(默认)关闭
筛选器
Zakayo Ashuke: Kichekesho kuhusu Arsenal na Aston Villa
0:48
Zakayo Ashuke: Kichekesho kuhusu Arsenal na Aston Villa
已浏览 23.5万 次4 天之前
TikTokkevin_masagara
#HABARI: Halmashauri ya Mji wa Babati mkoani Manyara, imetoa tuzo kwa walimu wa shule za Sekondari waliofanya vizuri na kuwezesha ufaulu wa wanafunzi katika mitihani ya kidato cha nne na kidato cha pili mwaka 2024. Hafla hiyo imefanyika katika uwanja wa Tanzanite Kwaraa, ikiwa na lengo la kutoa hamasa kwa walimu ambao wamefanya vizuri katika masomo yao ambapo Afisa Elimu Halmashauri ya Wilaya ya Babati Simoni Mumbe amewapongeza walimu kwa kazi kubwa wanayofanya na kuhakikisha ufaulu unaongezeka.
1:55
#HABARI: Halmashauri ya Mji wa Babati mkoani Manyara, imetoa tu…
已浏览 2678 次6 天之前
FacebookITV Tanzania
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linawashikilia madereva wa magari matano ya kubebea wagonjwa (ambulance) kwa tuhuma za kutumia magari hayo kusafirishia abiria kutoka jijini Dar es Salaam kuelekea Mtukula wilayani Misenyi mkoani Kagera. JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania #Follow @itvtz @radioonetanzania @capitaldigital
3:06
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linawashikilia maderev…
已浏览 1.2万 次6 天之前
FacebookITV Tanzania
‎ ‎#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simbachawene amewataka vijana na wanaharakati nchini kutumia njia sahihi na za amani katika kudai haki zao badala ya kuanzisha vurugu na migogoro isiyo na tija. ‎ ‎Amesema kuwa historia imeonyesha kuwa vita na ghasia havijawahi kuleta suluhu bali husababisha kupotea kwa amani, akitolea mfano Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambayo kwa zaidi ya miaka 30 imekuwa ikihangaika kurejesha utulivu uliopotea. ‎ ‎Waziri Simbachawene ametoa ka
2:17
‎ ‎#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. George Simb…
已浏览 1.3万 次6 天之前
FacebookITV Tanzania
#HABARI: Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, katika kipindi cha kuanzia mwezi Julai hadi Novemba katika mwaka wa fedha 2025/2026, imefanikiwa kukusanya mapato ya fedha kwa asilimia 62. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania #Follow @itvtz @radioonetanzania @capitaldigitaltanzania | ITV Tanzania
2:35
#HABARI: Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, katika ki…
已浏览 2450 次2 天之前
FacebookITV Tanzania
‎ ‎#HABARI: Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeandaa mfululizo wa makongamano yatakayohusisha wazazi na vijana nchini kwa lengo la kuwaelimisha vijana umuhimu wa uzalendo na faida ya kudumisha amani kwa maslahi ya Taifa. ‎ ‎Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya hiyo, Fadhili Maganya, amesema wazazi wana nafasi na wajibu mkubwa wa kuwaelekeza vijana njia sahihi ya kuishi, pamoja na kuwafundisha namna bora ya kufikisha kero zao katika mamlaka husika bila kushiriki katika matukio yanayoweza
2:02
‎ ‎#HABARI: Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imea…
已浏览 5981 次5 天之前
FacebookRadioOneStereo
观看更多视频
静态缩略图占位符
更多类似内容
反馈
  • 隐私
  • 条款